Thursday, July 22, 2010

VUVUZELA IMEANZA ENZI ZIPI?



Historia inasemaje?


Kumekuwa na maswali mengi kuhusu asili au chanzo cha vuvuzela , chombo kilichotumika kama sehemu ya burudani hivi karibuni huko bondeni. Je! unajua chimbuko lake au hawa wanasingiziwa tu? kama itakuwa kweli unajifunza nini ?
Je! hii inakamilisha usemi usemao "USILOLIJUA NI KAMA USIKU WA GIZA"