Thursday, November 11, 2010

SPIKA WA BUNGE

Hatimaye mambo ya uchaguzi yamepita na sasa kizaza kingine ni juu ya upatikanaji wa spika wa Bunge letu. Hadi sasa kuna mizengwe mingi bado inaendelea katika mchakato wa waliochukua fomu za kuwania nafasi hiyo.
Nimebaki njia panda kwani sijawa na ushahidi wa kutosha kumhusu mheshimiwa Samwel Sita, amekuwa akipingwa sana na wanaCCM kuwa asipewe tena nafasi hiyo. Tunaomba waweke wazi vipingamizi vyao vina sababu za msingi?
Samwel Sitta

Baadhi ya tuhuma zake zinasema Ujue ufisadi wa samwel sita.
Lakini hayo ni kweli?