Sunday, October 31, 2010

RAISI MPYA TZ.

Ni siku nzuri ambayo watanzania tunatimiza haki yetu ya kikatiba na bado masaa machache sasa tufikie hatima ya kuwa na raisi mpya. Nimeamka alfajiri na mapema kuwahi kituoni. Niwapongeze wananchi kwa moyo wa kutekeleza haki yenu na ninaamini mwamko huu utasaidia sana kufikia malengo mazuri.
Baadhi ya vituo vimeripotiwa kuwa na kasoro ndogondogo na kwa ujumla hali ni shwari katika vituo vingi. Tutulize mawazo tusubili majibu ya kura zetu.
Unauwezo wa kutabili nani atakuwa RAISI wako masaa machache yajoyo? BONYEZA HAPA