Monday, May 30, 2016

MATAPELI WA FACEBOOK

Kuna wimbi kubwa la matapeli wa mitandaoni. Wengi wao hutumia majina feki,picha feki na baadhi ya vitu vya jinsi hiyo. Facebook imekuwa kinara wa tatizo hili pia. Nimependa makala hii ( bonyeza hapa ) itakusaidia pia.