Sunday, July 29, 2012

MGOMO WA WALIMU TANZANIA.

Hatimaye chama cha walimu Tanzania ( CWT ) kimethibitisha kuwa mgomo wa walimu nchi nzima uko palepale kuanzia jumatatu tarehe 31-julai-2012. Rais wa CWT, Gratian Mukoba ameitaka serikali kuacha vitisho dhidi ya walimu. Aidha mgomo huo utakuwa halali baada ya serikali kupewa notisi ya saa 48 iliyoanza saa 8 mchana ijumaa na kuisha saa 8 mchana jumapili kisha kutangaza rasmi mgomo huo kuanzia jumatatu.

Madai ya walimu ni pamoja na ongezeko la mishahara kwa asilimia 100, posho ya kufundishia kwa walimu wa sayansi asilimia 55, asilimia 50 kwa walimu wa masomo ya sanaa na posho kwa walimu wanaoishi katika mazingira magumu.

Kwa mujibu wa chapisho la gazeti la Mwananchi la tarehe 29-7-2012, kauli ya Wizara kupitia kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alipoulizwa kuhusu uamuzi wa walimu kuendelea na mgomo, alisema hawezi kuzungumzia hilo yuko safarini kuelekea Mbeya.
“Siwezi kuzungumza nipo safarini kuelekea Mbeya na hatuwezi kuelewana hivyo,  mtafute Waziri atazungumzia,” alisema Mulugo.
Hata hivyo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dk Shukuru Kawambwa alipopigiwa simu yake ya mkononi iliita bila ya kupokewa.

 Kutokana na gharama za maisha kuwa ngumu kw watanzania wa kipato cha chini, ni dhahiri kuwa kuna umuhimu kwa walimu kusikirizwa madai yao. Hata waheshimiwa wabunge walikiri kuwa hali ya maisha ni ngumu, lakini walighubikwa na ubinafsi pali waliposema kuwa gharama za maisha mjini Dodoma ni kubwa hivyo wao waongezewe posho. Kama Dodoma maisha ni magumu, je! watanzania wengine waishio hapo Dodoma na mikoa mingine wao nani atawanusuru na hii hali ya maisha magumu? Tunaomba Serikali itambue kuwa hata watumishi wengine wa uma kama walimu, polisi, wauguzi, n. k. wanahitaji kuboreshewa mishahara yao ili kukabiliana na mfumuko wa gharama za maisha.

Friday, April 6, 2012

Kwaheri Bingu wa Mutharika, Malawi

Hatimaye aliyekuwa raisi wa Malawi, Bingu wa Mutharika inasemekana amefariki dunia huko afrika ya kusini alikokuwa amelazwa  kwa matibabu ya moyo. Poleni sana wananchi wote wa Malawi tunawaombea amani na utulivu katika kipindi hiki kigumu cha kusubiri atakayerithi nyayo za Mutharika.
Habari zaidi kutoka BBC NEWS

Malawi President Bingu wa Mutharika 'dead'

President Bingu wa Mutharika of Malawi has died, doctors and cabinet ministers have told the BBC, but this has not been officially announced.

One of the doctors who treated Mr Mutharika, 78, said the president was "clinically dead" on Thursday after suffering a cardiac arrest.

State media has only reported that he has been flown to South Africa for medical treatment.
If confirmed, his death would spark a constitutional crisis, analysts say.

According to the constitution, the vice-president takes over if the head of state is incapacitated or dies in office.
But Vice-President Joyce Banda and Mr Mutharika fell out after a row over the succession in 2010, and she was expelled from the ruling Democratic People's Party (DPP).
Mr Mutharika's brother, Foreign Minister Peter Mutharika, was chosen instead of Ms Banda to be the DPP's presidential candidate in the 2014 elections.

He has been standing in for the president when needed during official occasions. Ms Banda recently told the BBC she had not spoken to Bingu wa Mutharika for more than a year.
The BBC's Raphael Tenthani in the main city, Blantyre, says ministers met all night to discuss the situation.

The doctors and ministers say that Mr Mutharika's body was taken to South Africa while a decision is taken about what to do next.

Government sources have told the BBC that efforts to resuscitate President Mutharika had failed and that an official announcement is being prepared.
'The laws are clear'  Former President Bakili Muluzi - a bitter rival to Mr Mutharika - has called on the authorities to make an announcement.

"It's important that the government announces the condition of the president as soon as possible so that the nation is informed," he told journalists.
"I am calling for a constitutional order, for continued peace and order. The laws of Malawi are very clear that the vice-president takes over when the president can no longer govern."

Mr Mutharika, a former World Bank economist, came to power in a 2004 election, after being backed by outgoing President Muluzi. Soon afterwards, Mr Mutharika left his United Democratic Front (UDF) to form the DPP, after accusing Mr Muluzi and other UDF leaders of opposing his campaign against corruption.

Since being re-elected with a large majority in 2009, critics allege he has demonstrated an increasingly authoritarian streak.

The president has been under mounting pressure to resign, amid accusations of nepotism and economic mismanagement.
The criticism has led to a souring in relations with major foreign aid donors, especially the United Kingdom.

Last year, Mr Mutharika expelled the UK High Commissioner, Fergus Cochrane-Dyet, after a leaked embassy cable quoted the diplomat as saying that the president could not tolerate criticism.
The Malawian leader said he could not accept "insults" just because the UK was his country's largest aid donor.

In response, the UK expelled the Malawian envoy to London and cut direct aid.
Malawi is one of the poorest countries in the world, with an estimated 75% of the population living on less than $1 (60p) a day.

The country has suffered shortages of fuel and foreign currency since the UK and other donors cancelled aid.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-17636393 


 http://news.yahoo.com/malawi-president-dies-heart-attack-hospital-075230249.html