Monday, November 22, 2010

KIJIWENI

Mara nyingi ukipita mtaani kwenye vijiwe vya wazee wapenda kahawa utasikia jinsi wanavyotumia muda wao mwingi kupanga safu ya Baraza la mawaziri la serikali ya Kikwete. Mimi nafikiri wangetumia muda huo kujadili mipango bunifu ya kuweza kufanyika katika serikali zao za mitaa ili kijiletea manufaa zaidi.
Maranyingi tumekuwa tukipoteza muda mwingi kufanya kazi za watu katika dhana ya kusadikika na mwisho wa siku hujikuta tumechelewa kutekeleza majukumu yetu muhimu.