BLOGU HII INATOA MADA MBALIMBALI ZINAZOHUSU MAMBO YANAYOTOKEA KATIKA JAMII ZETU. UNAKARIBISHWA KUTOA MAONI AMBAYO YATASAIDIA KATIKA KUELIMISHA WASOMAJI WENGINE. MAWAZO YANAYOTOLEWA HUMU SIO MSIMAMO WA MMIRIKI WA BLOGU HII.
Monday, May 30, 2016
MATAPELI WA FACEBOOK
Kuna wimbi kubwa la matapeli wa mitandaoni. Wengi wao hutumia majina feki,picha feki na baadhi ya vitu vya jinsi hiyo.
Facebook imekuwa kinara wa tatizo hili pia. Nimependa makala hii ( bonyeza hapa ) itakusaidia pia.
Friday, June 19, 2015
Tufuate ushauri wa madaktari.
Habari za Leo tena ndungu zangu wapendwa. Ni Siku nyingine nzuri Mungu ametupa tupate kufurahia maisha.
Leo naomba kuzungumzia changamoto moja ambayo imewapata watu wengi,inawezekana hata wewe umewahi kupitia changamoto hii. Kuna hili suala la maduka ya madawa ya dawa muhimu za binadamu, maarufu kama dawa baridi. Wengi wetu tumezoea njia za mkato,tunaenda kupata dawa huko bila ushauri wa daktari. Tujiulize je! Wale wahudumu wa dukani wanaelimu ya madawa? Ukweli unao. Mbaya zaidi tunalizika kuandikiwa kanywe 2×3 na tunalizika bila kujua madhara ya dawa hizo. Ikumbukwe kuwa kila dawa ni sumu isipotumika kwa utaratibu unaotakiwa.
Unakuta mhudumu anamwuliza mteja, unataka za nchi gani? Au eti Mimi ninazo za India na Italia wewe unataka ipi? Jamani hivi raia wa kawaida anafahamu description ya dawa hizi pamoja na ubora wa viwanda vyake? Bilashaka sheria inawataka wamiriki wa maduka hayo waajiri watu wenye ujuzi wa madawa na sio vinginevyo. Tatizo unakuta mmiriki kaweka ndugu yake darasa la saba au kidato cha nne, wengine wanaelimu ya nursing hata hao nao sheria hairuhusu wao kuchukua nafasi ya daktari. Unakuta mteja anatoa maelezo dukani ya ugonjwa wake baada ya maelezo wale wauzaji wanatumia uzoefu wao kumpatia mgonjwa dawa. Mwisho wa siku tunalalamika ongezeko la cancer katika jumuia zetu,vifo vingi kwa ugonjwa mdogo ambao unatibika.
Wengine wamegeuza maduka kuwa vituo vya afya. Mfano wanaotoa huduma ya kuchomwa sindano dukani, kuoshwa na kufunga vidonda nk je sheria inaruhusu? Najaribu kutafakari sana kuwa wengi wanaomiriki haya maduka ni watu wanaotoa huduma au waajiriwa katika hospitali zilizosajiliwa na wanafahamu masharti ya kuanzisha duka la dawa baridi. Kwa nini hawazingatii ni swali langu kwa mamlaka zinazohusika kutoa leseni za biashara hizo,labda wanamaelezo ya ziada. Naamini mamlaka hizo pia zinafanya kazi vizuri lakini bado raia nao wanatakiwa kujifunza juu ya hili wafuate ushauri wa daktari kabla hawajaenda kununua Dawa dukani. Kama tatizo ni elimu juu ya hatari ya matumizi mabaya ya dawa hizi za binadamu basi tuziombe mamlaka husika zisaidie kuelimisha wananchi mara kwa mara.
Yangu leo ni hayo machache niwatakie ushirikiano mzuri wa Elimu ya hatari za matumizi mabaya ya Dawa za binadamu ili watu wengi wapate ufahamu wa kutosha. Tusaidiane kuelimishana ili kuokoa maisha ya wengi. Asante kwa kufuatilia makala hii.
Saturday, June 13, 2015
TUFANYE KAZI KWA BIDII
Habari za w/end, nawatakia mapumziko mazuri. Kule ukweni Dubai w/end mwisho ufukwe wa bahari Hindi,ukikanyaga nchi kavu kila mtu bize,
But kwetu tunalala w/end eti mapumziko,zen tunasema maisha magumu. Halafu nyie wenye ndoa zenu ndo kabisaaaaa.....! Think twice,
Angalia budget ya nchi ya 2015/2016 ni tegemezi, swali langu ni kwanini tuwategemee wenzetu kila mwaka sisi hatuwezi badilika? Tunajifanya mafundi wa kuimalisha ndoa,samahani kama utachukia BT huo ni ukweli bongo tumezidi uzembe,tumeona suluhu in kuongeza kodi kwenye petrol,diesel,kerosene,magari nk halafu tumeacha pombe na vileo vyote viwe na bei poa ili tuendekeze ulevi na uvivu wa kufikili???
Hadi mkulima kijijini ameambukizea ugonjwa wa w/end, nani kasema upumzike still unakalia kigoda, !!!
TANZANIA NAKUPENDA ILA FIKIRA ZAKO ZINANICHOSHA. UNANIAHIDI NIISHI KWA MATUMAINI NISIYOYATARAJIA KUYAPATA LEO WALA KESHO.
Bajeti iliyowasilishwa imenitafakarisha sana,I wish wanaojinadi urais mwaka huu wangeonesha kuipinga hiyo bajeti tuwaamini kuwa kweli wanatuingiza kwenye matumaini mazuri, bt nothing spoken from their mouths,!!!!
Real wonders will never end..,..!!!!!
Let us work men.
Sunday, July 29, 2012
MGOMO WA WALIMU TANZANIA.
Hatimaye chama cha walimu Tanzania ( CWT ) kimethibitisha kuwa mgomo wa walimu nchi nzima uko palepale kuanzia jumatatu tarehe 31-julai-2012. Rais wa CWT, Gratian Mukoba ameitaka serikali kuacha vitisho dhidi ya walimu. Aidha mgomo huo utakuwa halali baada ya serikali kupewa notisi ya saa 48 iliyoanza saa 8 mchana ijumaa na kuisha saa 8 mchana jumapili kisha kutangaza rasmi mgomo huo kuanzia jumatatu.
Madai ya walimu ni pamoja na ongezeko la mishahara kwa asilimia 100, posho ya kufundishia kwa walimu wa sayansi asilimia 55, asilimia 50 kwa walimu wa masomo ya sanaa na posho kwa walimu wanaoishi katika mazingira magumu.
Kwa mujibu wa chapisho la gazeti la Mwananchi la tarehe 29-7-2012, kauli ya Wizara kupitia kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alipoulizwa kuhusu uamuzi wa walimu kuendelea na mgomo, alisema hawezi kuzungumzia hilo yuko safarini kuelekea Mbeya.
“Siwezi kuzungumza nipo safarini kuelekea Mbeya na hatuwezi kuelewana hivyo, mtafute Waziri atazungumzia,” alisema Mulugo.
Hata hivyo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dk Shukuru Kawambwa alipopigiwa simu yake ya mkononi iliita bila ya kupokewa.
Kutokana na gharama za maisha kuwa ngumu kw watanzania wa kipato cha chini, ni dhahiri kuwa kuna umuhimu kwa walimu kusikirizwa madai yao. Hata waheshimiwa wabunge walikiri kuwa hali ya maisha ni ngumu, lakini walighubikwa na ubinafsi pali waliposema kuwa gharama za maisha mjini Dodoma ni kubwa hivyo wao waongezewe posho. Kama Dodoma maisha ni magumu, je! watanzania wengine waishio hapo Dodoma na mikoa mingine wao nani atawanusuru na hii hali ya maisha magumu? Tunaomba Serikali itambue kuwa hata watumishi wengine wa uma kama walimu, polisi, wauguzi, n. k. wanahitaji kuboreshewa mishahara yao ili kukabiliana na mfumuko wa gharama za maisha.
Madai ya walimu ni pamoja na ongezeko la mishahara kwa asilimia 100, posho ya kufundishia kwa walimu wa sayansi asilimia 55, asilimia 50 kwa walimu wa masomo ya sanaa na posho kwa walimu wanaoishi katika mazingira magumu.
Kwa mujibu wa chapisho la gazeti la Mwananchi la tarehe 29-7-2012, kauli ya Wizara kupitia kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alipoulizwa kuhusu uamuzi wa walimu kuendelea na mgomo, alisema hawezi kuzungumzia hilo yuko safarini kuelekea Mbeya.
“Siwezi kuzungumza nipo safarini kuelekea Mbeya na hatuwezi kuelewana hivyo, mtafute Waziri atazungumzia,” alisema Mulugo.
Hata hivyo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dk Shukuru Kawambwa alipopigiwa simu yake ya mkononi iliita bila ya kupokewa.
Kutokana na gharama za maisha kuwa ngumu kw watanzania wa kipato cha chini, ni dhahiri kuwa kuna umuhimu kwa walimu kusikirizwa madai yao. Hata waheshimiwa wabunge walikiri kuwa hali ya maisha ni ngumu, lakini walighubikwa na ubinafsi pali waliposema kuwa gharama za maisha mjini Dodoma ni kubwa hivyo wao waongezewe posho. Kama Dodoma maisha ni magumu, je! watanzania wengine waishio hapo Dodoma na mikoa mingine wao nani atawanusuru na hii hali ya maisha magumu? Tunaomba Serikali itambue kuwa hata watumishi wengine wa uma kama walimu, polisi, wauguzi, n. k. wanahitaji kuboreshewa mishahara yao ili kukabiliana na mfumuko wa gharama za maisha.
Friday, April 6, 2012
Kwaheri Bingu wa Mutharika, Malawi
Hatimaye aliyekuwa raisi wa Malawi, Bingu wa Mutharika inasemekana amefariki dunia huko afrika ya kusini alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya moyo. Poleni sana wananchi wote wa Malawi tunawaombea amani na utulivu katika kipindi hiki kigumu cha kusubiri atakayerithi nyayo za Mutharika.
Habari zaidi kutoka BBC NEWS
One of the doctors who treated Mr Mutharika, 78, said the president was "clinically dead" on Thursday after suffering a cardiac arrest.
State media has only reported that he has been flown to South Africa for medical treatment.
If confirmed, his death would spark a constitutional crisis, analysts say.
According to the constitution, the vice-president takes over if the head of state is incapacitated or dies in office.
But Vice-President Joyce Banda and Mr Mutharika fell out after a row over the succession in 2010, and she was expelled from the ruling Democratic People's Party (DPP).
Mr Mutharika's brother, Foreign Minister Peter Mutharika, was chosen instead of Ms Banda to be the DPP's presidential candidate in the 2014 elections.
The doctors and ministers say that Mr Mutharika's body was taken to South Africa while a decision is taken about what to do next.
Government sources have told the BBC that efforts to resuscitate President Mutharika had failed and that an official announcement is being prepared.
'The laws are clear' Former President Bakili Muluzi - a bitter rival to Mr Mutharika - has called on the authorities to make an announcement.
"It's important that the government announces the condition of the president as soon as possible so that the nation is informed," he told journalists.
Mr Mutharika, a former World Bank economist, came to power in a 2004 election, after being backed by outgoing President Muluzi. Soon afterwards, Mr Mutharika left his United Democratic Front (UDF) to form the DPP, after accusing Mr Muluzi and other UDF leaders of opposing his campaign against corruption.
Since being re-elected with a large majority in 2009, critics allege he has demonstrated an increasingly authoritarian streak.
The president has been under mounting pressure to resign, amid accusations of nepotism and economic mismanagement.
The criticism has led to a souring in relations with major foreign aid donors, especially the United Kingdom.
Last year, Mr Mutharika expelled the UK High Commissioner, Fergus Cochrane-Dyet, after a leaked embassy cable quoted the diplomat as saying that the president could not tolerate criticism.
The Malawian leader said he could not accept "insults" just because the UK was his country's largest aid donor.
In response, the UK expelled the Malawian envoy to London and cut direct aid.
Malawi is one of the poorest countries in the world, with an estimated 75% of the population living on less than $1 (60p) a day.
The country has suffered shortages of fuel and foreign currency since the UK and other donors cancelled aid.
Kwa habari zaidi someni:
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-17636393
http://news.yahoo.com/malawi-president-dies-heart-attack-hospital-075230249.html
Habari zaidi kutoka BBC NEWS
Malawi President Bingu wa Mutharika 'dead'
President Bingu wa Mutharika of Malawi has died, doctors and cabinet ministers have told the BBC, but this has not been officially announced.
State media has only reported that he has been flown to South Africa for medical treatment.
If confirmed, his death would spark a constitutional crisis, analysts say.
According to the constitution, the vice-president takes over if the head of state is incapacitated or dies in office.
But Vice-President Joyce Banda and Mr Mutharika fell out after a row over the succession in 2010, and she was expelled from the ruling Democratic People's Party (DPP).
Mr Mutharika's brother, Foreign Minister Peter Mutharika, was chosen instead of Ms Banda to be the DPP's presidential candidate in the 2014 elections.
He has been standing in for the president when needed during official occasions. Ms Banda recently told the BBC she had not spoken to Bingu wa Mutharika for more than a year.
The BBC's Raphael Tenthani in the main city, Blantyre, says ministers met all night to discuss the situation.The doctors and ministers say that Mr Mutharika's body was taken to South Africa while a decision is taken about what to do next.
Government sources have told the BBC that efforts to resuscitate President Mutharika had failed and that an official announcement is being prepared.
'The laws are clear' Former President Bakili Muluzi - a bitter rival to Mr Mutharika - has called on the authorities to make an announcement.
"It's important that the government announces the condition of the president as soon as possible so that the nation is informed," he told journalists.
"I am calling for a constitutional order, for continued peace and order. The laws of Malawi are very clear that the vice-president takes over when the president can no longer govern."
Since being re-elected with a large majority in 2009, critics allege he has demonstrated an increasingly authoritarian streak.
The president has been under mounting pressure to resign, amid accusations of nepotism and economic mismanagement.
The criticism has led to a souring in relations with major foreign aid donors, especially the United Kingdom.
Last year, Mr Mutharika expelled the UK High Commissioner, Fergus Cochrane-Dyet, after a leaked embassy cable quoted the diplomat as saying that the president could not tolerate criticism.
The Malawian leader said he could not accept "insults" just because the UK was his country's largest aid donor.
In response, the UK expelled the Malawian envoy to London and cut direct aid.
Malawi is one of the poorest countries in the world, with an estimated 75% of the population living on less than $1 (60p) a day.
The country has suffered shortages of fuel and foreign currency since the UK and other donors cancelled aid.
Kwa habari zaidi someni:
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-17636393
http://news.yahoo.com/malawi-president-dies-heart-attack-hospital-075230249.html
Sunday, September 11, 2011
Sunday, December 19, 2010
MKONGWE WA FARISAFA.
Nawasalimuni wote ndugu zangu. Naomba nirejee tena na mada hii ambayo imenipa kufikiri sana bila kupata muafaka wa mawazo yangu. Nimejihisi kuwa labda nimekuwa mvivu wa kusoma maandiko matakatifu ya Mungu.
Yesu anatajwa sana habari zake na hivi karibuni tunaelekea kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwake. Pamoja na jitihada zote za kutaka kufahamu kwa nini Yesu alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kujibu maswali yote aliyoulizwa, nimekosa habari zake muhimu.
"NAWATAKIA CHISTMAS NJEMA NA HERI YA MWAKA MPYA 2011"
Yesu anatajwa sana habari zake na hivi karibuni tunaelekea kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwake. Pamoja na jitihada zote za kutaka kufahamu kwa nini Yesu alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kujibu maswali yote aliyoulizwa, nimekosa habari zake muhimu.
- Yesu mnazareti, aliyezaliwa na Bikira Mariam, alisoma shule gani na chuo kipi?
- Naomba kujua kiwango chake cha elimu.
- Kwa nini walimwita Mwalimu hata wasomi waliokuwa na elimu ya juu katika Uyahudi?
"NAWATAKIA CHISTMAS NJEMA NA HERI YA MWAKA MPYA 2011"
Friday, December 17, 2010
BIDHAA FEKI
Mfumo wa elimu Tanzania umejikita zaidi katika masomo ya nadharia kuliko vitendo. hali hii imetuathiri sana wananchi kwa sababu wengi wetu hatuna ubunifu wa kutosha wa kumudu ushindani wa soko la leo duniani. Ukipita mtaani utajionea bidhaa nyingi zijulikanazo kwa jina la 'MCHINA' zikiwa zimesambaa kila kona. Ukitafuta uwiano na kile tunachozalisha sisi dhahili utagundua tofauti kubwa.
Viwanda vyetu viko wapi hadi tumevamiwa na bidhaa toka ughaibuni na kuziba vya kwetu?. Tusaidieni enyi watanzania mlioko nchini China, Japani, Korea, India kama huko mitaani kuna bidhaa zetu za kitanzania zinazouzwa zikiwa na nembo ya TBS na chata ya MADE IN TANZANIA.
Kaulimbiu ya nchi inasema 'KILIMO KWANZA' lakini ukienda shopright utakutana na bidhaa kama apple, coffee, milk, juice, onions, na matunda mengi kutoka nchi za nje kama Afrika kusini, kwa nini tusijivunie na vya kwetu? hii kaulimbiu ni ya majukwaani tu?
Nafikiri ni vyema zaidi kama sera za uzalishaji mali na ukuaji wa viwanda za nchi zingetoa kipau mbele katika kukuza soko la bidhaa zetu asilia. Hata kama zitaonekana kuwa sio bora kama za wenzetu hapo ndipo tutajua jinsi ya kurekebisha na kukidhi mahitaji ya ushindani katika masoko yetu na ya nje.
| Bidhaa za kigeni. |
Viwanda vyetu viko wapi hadi tumevamiwa na bidhaa toka ughaibuni na kuziba vya kwetu?. Tusaidieni enyi watanzania mlioko nchini China, Japani, Korea, India kama huko mitaani kuna bidhaa zetu za kitanzania zinazouzwa zikiwa na nembo ya TBS na chata ya MADE IN TANZANIA.
Kaulimbiu ya nchi inasema 'KILIMO KWANZA' lakini ukienda shopright utakutana na bidhaa kama apple, coffee, milk, juice, onions, na matunda mengi kutoka nchi za nje kama Afrika kusini, kwa nini tusijivunie na vya kwetu? hii kaulimbiu ni ya majukwaani tu?
|
| Haya nayo lazima yatoke nje? |
Wednesday, November 24, 2010
MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI 2010
![]() |
| Rais Jakaya Kikwete akitangaza baraza jipya la Mawaziri leo Ikulu jijini Dar es salaam |
1. Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mathias Chikawe
2. Ofisi ya Rais – Mahusiano na Uratibu: Stephen Wassira
3.Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia
4. Ofisi ya Makamu wa Rais – ( Muungano): Samia Suluhu
5. . Ofisi ya Makamu wa Rais – (Mazingira) Dr. Terezya Luoga Hovisa
6. Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge): William Lukuvi
7. Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu
8. Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Huruma Mkuchika
Naibu: Aggrey Mwanri
Naibu: Kassim Majaliwa
9. Wizara ya Fedha Mustapha Mkulo
Naibu: Gregory Teu
Naibu: Pereira Ame Silima
10. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Shamsi Vuai Nahodha
Naibu: Balozi Khamis Suedi Kagasheki
11. Wizara ya Katiba na Sheria Celina Kombani
12. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard K. Membe Naibu: Mahadhi Juma Mahadhi
13 . Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi
14. Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Mathayo David Mathayo
Naibu: Benedict Ole Nangoro
15. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
Naibu: Charles Kitwanga
16. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka Naibu: Goodluck Ole Madeye
17. Wizara ya Maliasili na Utalii Ezekiel Maige
18. Wizara ya Nishati na Madini William Mganga Ngeleja 1. Adam Kigoma Malima
19. Wizara ya Ujenzi Dr. John Pombe Magufuli
Naibu: Dr. Harrison Mwakyembe
20. Wizara ya Uchukuzi Omari Nundu
Naibu: Athumani Mfutakamba
21. Wizara ya Viwanda na Biashara Dr. Cyril Chami
Naibu: Lazaro Nyalandu
22. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr. Shukuru Kawambwa
Naibu: Philipo Mulugo
23. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Haji Hussein Mpanda
Naibu: Dr. Lucy Nkya
24. Wizara ya Kazi na Ajira Gaudensia Kabaka Makongoro Mahanga
25. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Sophia Simba
Naibu: Umi Ali Mwalimu
26. Wizara ya Habari, Vijana na Michezo Emmanuel John Nchimbi
Naibu:Dr. Fenella Mukangara
27. Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel John Sitta
Naibu Dr. Abdallah Juma Abdallah
28. Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Prof. Jumanne Maghembe
Naibu: Christopher Chiza
29. Wizara ya Maji: Prof. Mark James Mwandosya
Naibu: Eng. Gerson Lwinge
Hiyo ndo serikali iliyokuwa ikisubiliwa kwa shauku kubwa na Watanzania.
Monday, November 22, 2010
KIJIWENI
Mara nyingi ukipita mtaani kwenye vijiwe vya wazee wapenda kahawa utasikia jinsi wanavyotumia muda wao mwingi kupanga safu ya Baraza la mawaziri la serikali ya Kikwete. Mimi nafikiri wangetumia muda huo kujadili mipango bunifu ya kuweza kufanyika katika serikali zao za mitaa ili kijiletea manufaa zaidi.
Maranyingi tumekuwa tukipoteza muda mwingi kufanya kazi za watu katika dhana ya kusadikika na mwisho wa siku hujikuta tumechelewa kutekeleza majukumu yetu muhimu.
Subscribe to:
Posts (Atom)

